Misingi Ya BIBLIA
Somo La 3: Ahadi za Mungu
Dibaji | Ahadi Katika Edeni | Ahadi Kwa Nuhu | Ahadi Kwa Abrahamu | Ahadi Kwa Daudi | Tumeacha Kitambo sehemu ya (The Kuharibiwa kwa Mbingu na Nchi (Ufu. 21:1; 2Pet. 3:6-12)., Madai ya "Uisraeli wa Visiwa vya Uingereza") | Maswali

Somo La 3: Maswali

Isimu:
email (required):
  1. Ni ipi kati ya ahadi za Mungu inayotabiri kujitahidi daima kushindana kati ya dhambi na haki ?.
    Ahadi kwa Nuhu
    Ahadi katika Edeni
    Ahadi kwa Daudi
    Ahadi kwa Abrahamu

  2. Zipi kati ya taarifa zifuatazo ni za kweli kuhusu Ahadi katika Edeni ?
    Mzao wa nyoka ni lusifa
    Kristo na wenye haki ni uzao wa mwanamke
    Uzao wa nyoka kwa muda ulipondwa na Kristo
    Uzao wa Mwanamke ulichubuliwa kwa kifo cha Kristo

  3. Uzao wa Abrahamu utaishi wapi milele ?
    Mbinguni
    Katika mji wa Yerusalemu
    Duniani
    Wengine mbinguni wengine duniani

  4. Kati ya yafuatayo yapi aliahidiwa Daudi ?
    Kwamba mtoto wako mkubwa atatawala milele
    Kwamba 'Mzao’ wake utakuwa na ufalme mbinguni
    Mzao huyo atakuwa Mwana wa Mungu
    Mzao huyo, Yesu, aliishi mbinguni kabla ya kuzaliwa

  5. Tunawezaje kuwa uzao wa Abrahamu ?

  6. Je ! dunia itaharibiwa ?
    Eewaa
    La

  7. Ahadi za Mungu zinathibitishaje jibu lako kwa swali la 6 ?

  8. Eleza Ahadi ya Edeni katika Mwanzo 3:15.


  Back
Home
Next