Misingi Ya BIBLIA
Somo La 10: Kubatizwa Katika Jina La Yesu
Maana Muhimu Sana Ya Ubatizo | Tubatizwe Jinsi Gani? | Maana Ya Ubatizo. | Ubatizo Na Wokovu | Tumeacha Kitambo sehemu ya (Kubatizwa tena, Kiwango cha elimu itakiwayo kabla ya kubatizwa, Mnyang'anyi Msalabani, Mfano wa huduma ya Ubatizo) | Maswali

Somo La 10: Maswali

Isimu:
email (required):
  1. Je! tunaweza kuokolewa pasipo kubatizwa?
    Eewaa
    La

  2. Neno ‘ubatizo’ lina maana gani?
    Kujitoa
    Kunyuziwa maji
    Imani
    Kutumbukizwa/kuzama katika maji

  3. Maana yake nini Ubatizo ulioelezwa kwa Warumi 6:3-5?

  4. Ni lini yatupasa tubatizwe?
    Baada ya kujifunza Injili ya kweli na kutubu
    Tukiwa watoto wadogo
    Baada ya kupendezwa/kuvutiwa na Biblia
    Tunapotaka kujiunga na kanisa

  5. Tunabatizwa katika nini?
    Kanisa linalobatiza
    Neno la Mungu
    Kristo
    Roho mtakatifu

  6. Jambo gani linalofuata baada ya ubatizo?
    Tunakuwa sehemu ya uzao wa Abrahamu
    Hatuta tenda dhambi tena
    Kwa maana dhahiri tunaokolewa muda wote
    Dhambi zetu zinasamehewa

  7. Je! ubatizo peke yake unatuokoa?
    Eewaa
    La

  8. Je! tutapokea vipawa vya miujiza ya Roho Mtakatifu baada ya kubatizwa?
    Eewaa
    La


  Back
Home
Next