Misingi Ya BIBLIA
Somo La 6: Mungu Na Ubaya
Mungu Na Ubaya | Ibilisi Na Shetani | Mapepo - Mashetani | Tumeacha Kitambo sehemu ya (Uchawi, Edeni palitokea nini?, Lusifa, Majaribu ya Yesu, Vita Mbinguni) | Maswali

Somo La 6: Maswali

Isimu:
email (required):
  1. Ni nani wa mwisho anayehusika na matatizo na majaribu yetu ?
    Mungu
    Tukio
    Kiumbe mwenye dhambi aitwaye shetani
    Viumbe watenda dhambi wanaoitwa mashetani au pepo.

  2. Ni nani anahusika na majaribu yetu kutenda dhambi ?
    Mwili wetu wenyewe wanadamu
    Mungu
    Roho wachafu
    Kiumbe mtenda dhambi aitwaye shetani

  3. Neno 'Ibilisi’ maana yeke nini ?
    Dhambi
    Nyoka
    Mshitaki / mchongeaji
    Lusifa.

  4. Neno 'Shetani’ lina maana gani ?
    Mtenda dhambi
    Adui
    Mnyama
    Mfalme wa pepo

  5. Je ! neno "Shetani" laweza kutumika kwa watu wema ?
    Eewaa
    La

  6. ‘Shetani’ na'Ibilisi’ kwa maneno ya mifano yaweza kutaja kitu gani ?

  7. Tunaelewa kwa jinsi gani 'pepo’ kama walivyotajwa kwenye Agano Jipya
    Malaika watenda dhambi
    Magonjwa
    Msemo wa siku zile wa magonjwa, ambayo watu walidhani yalisababishwa na'pepo’
    Viumbe wa roho.

  8. Unamwelewa vipi nyoka wa kwenye bustani ya Edeni ?


  Back
Home
Next