Misingi Ya BIBLIA
Somo La 2: Roho ya Mungu
Ufafanuzi | Maongozi ya Mungu | Vipawa Vya Roho Mtakatifu | Kurudishwa kwa vipawa | Biblia ni Mamlaka pekee | Tumeacha Kitambo sehemu ya (Je! Roho Mtakatifu ni Mtu?, Kawaida ya kuita kitu kana kwamba ni Mtu, Mambo ya kelvini, "Nanyi mtapokea Roho mtakatifu", "Na ishara hizi zitafuata") | Maswali

Somo La 2: Maswali

Isimu:
email (required):
  1. Kati ya haya yafuatayo ni maneno gani yana maana ya 'Roho'?
    Nguvu
    Takatifu
    Pumzi
    Mavumbi

  2. Roho Mtakatifu ni nini?
    Mtu
    Nguvu
    Uweza wa Mungu
    Sehemu ya Utatu.

  3. Biblia iliandikwa kwa jinsi gani ?
    Watu waliandika mawazo yao wenyewe
    Watu waliandika Mungu alikuwa na mawazo gani
    Watu walivuviwa na Roho ya Mungu
    Baadhi ya sehemu walivuviwa, sehemu nyingine hapana.

  4. Ni sababu zipi zifuatazo zilitolewa zenye karama ya miujiza ya Roho?
    Kusaidia tendo la kuhubiri Injili
    Kuendeleza kanisa la kwanza
    Kuwashurutisha watu wawe wenye haki
    Kuwaokoa mitume toka katika shida zao wenyewe.

  5. Kutoka wapi tunakoweza kujifunza kweli ya Mungu?
    Kwa sehemu katika Biblia, kwa sehemu toka fikira zetu wenyewe
    Toka Roho Mtakatifu akituambia jambo moja moja mbali ya kusoma Biblia
    Toka katika Biblia pekee
    Toka kwa watumishi / Makuhani wa dini

  6. Taja baadhi ya karama za Roho zilizokuwepo karne ya Kwanza.

  7. Ni lini ziliondolewa? Je ! yawezekana kuwa nazo sasa?

  8. Ni jinsi gani Roho Mtakatifu anaweza kufanya kazi katika maisha yetu leo?


   Back
Home
Back