Misingi Ya BIBLIA
Somo La 1: Mungu
Uwepo wa Mungu | Nafsi yake Mungu | Jina La Mungu Na Tabia Ya Sifa Yake | Malaika | Tumeacha Kitambo sehemu ya ("Mungu ni roho" (Yohana 4:24), "Matumizi ya jina la Mungu", "Ufunuo wa Mungu") | Maswali

Somo La 1: Maswali

Isimu:
email (required):
  1. Ni nini kitakachotusaidia zaidi kuamini Mungu ?
    Kwenda Kanisani
    Maombi na Kusoma Biblia
    Kuzungumuza na Wakristo
    Kutazama maumbile.

  2. Yapi ya haya yafuatayo ni ufafanuzi sahihi zaidi wa Mungu ?
    Ni wazo tu katika mioyo yetu
    Kipande cha Roho katika Hewa
    Mungu Hayupo
    Mtu halisi wa Umbo

  3. Je ? Mungu ni
    Ummoja
    Utatu
    Miungu wengi katika mmoja
    Haiwezekani kufafanua kwa njia ya yoyote

  4. Jina la Mungu' Yahweh Elohim’ lina maana gani ??
    Yeye atakaye kuwa
    Atakayedhihirika katika kundi la wenye nguvu
    Mkuu
    Nguvu

  5. neno'Malaika lina maana gani ?
    Kama mtu
    Aliyefunikwa na Mabawa
    Mjumbe
    Msaidizi

  6. Je ? Malaika anaweza kutenda Dhambi ?
    Eewaa
    La

  7. Ni kitu gani kinacho kudhihirishia kuwa Mungu yupo ?


  Back
Home
Next